Chelsea wako tayari kupokea maombi ya kumuuza kiungo wa Uingereza Conor Gallagher, 23, wakati dirisha la uhamisho litakapofunguliwa mwezi ujao ili kumtafutia fedha kocha Mauricio Pochettino, ambaye anaweza kumnunua mshambuliaji wa Brentford na England Ivan Toney, 27, au mhambuliaji wa Napoli na Nigeria Victor Osimhen. (Mail)
..... download Xtra 90 App



