Kocha Mkuu wa Simba, Abdelhak Benchikha, raia wa Algeria ambaye alitua na msaidizi wake Farid Zemiti na kocha wa viungo Kamal Boudjenane amempa mzawa, Seleman Matola jukumu la kupendekeza na kusajili wachezaji wazawa kwenye dirisha hili la Januari.
..... download Xtra 90 App



