Uwanja wa Amaan Visiwani Zanzibar ambao ulifungwa kwa ajili ya ukarabati mkubwa, sasa umekamilika, uwanja huo uko tayari kwa matumizi
Michuano ya kombe la Mapinduzi inayotarajiwa kuanza Disemba 28 2023, itapigwa katika uwanja huo
Uwanja wa Amaan Visiwani Zanzibar ambao ulifungwa kwa ajili ya ukarabati mkubwa, sasa umekamilika, uwanja huo uko tayari kwa matumizi
Michuano ya kombe la Mapinduzi inayotarajiwa kuanza Disemba 28 2023, itapigwa katika uwanja huo
Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.