Al Ahly yaangukia pua klabu bingwa Dunia

Joel JJ By Joel JJ β€’ 19th December 2023


Al Ahly yaangukia pua klabu bingwa Dunia

Mabingwa wa Afrika, Al Ahly wamesukumizwa nje ya michuano ya klabu Bingwa Dunia kufuatia kipigo cha 2-0 dhidi ya Mabingwa wa Amerika ya Kusini, Fluminense

Beki wa zamani wa Real Madrid, Marcelo alikuwa sehemu ya kikosi cha vigogo hao wa Brazil

Fluminense wametinga fainali ambapo watachuana na mshindi kati ya Manchester City dhidi ya vigogo wa Japan Urawa Red Diamonds

Al Ahly watacheza kuwania nafasi ya mshindi wa tatu dhidi ya Manchester City au Urawa


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.