Zahera atua Namungo Fc

Joel JJ By Joel JJ β€’ 30th December 2023


Zahera atua Namungo Fc

Klabu ya Namungo imemtambulisha Mwinyi Zahera kuwa kocha mkuu wa timu hiyo. Namungo kutokea mkoani Lindi ilikuwa inanolewa na kocha Denis Kitambi ambaye ametimkia Geita Gold FC

Mwanzoni mwa msimu Zahera aliinoa Coastal Union kabla ya timu hiyo kuachana nae baada ya mechi sita bila ushindi

Zahera kocha wa zamani wa Yanga, pia amewahi kuinoa klabu ya Polisi Tanzania ambayo ilishuka daraja msimu uliopita


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.