Mchezaji wa kiungo cha kati wa England Jordan Henderson, mwenye umri wa miaka 33, anataka kurudi katika ligi kuu ya England kutoka timu ya Saudi Arabia Al Ettifaq na atazingatia kwa uzito mapendekezo yoyote yatakayowasilishwa kwa klabu hiyo mwezi huu. (Mail)
..... download Xtra 90 App



