Baada ya mvutano wa miaka kadhaa hatimaye Baraza la Michezo la Taifa (BMT) limeridhia rasimu ya Katiba ya klabu ya Simba ikiwa ni hatua muhimu kuelekea kukamilika kwa mchakato wa Mabadiliko uliochukua takribani miaka mitano
..... download Xtra 90 App



