Atletico Madrid na Barcelona ni miongoni mwa takriban klabu sita zinazowania kumsajili kiungo wa kati wa Uingereza Kalvin Phillips kutoka Manchester City, huku mustakabali wa mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 28 ukitarajiwa kuamuliwa wiki ijayo. (Telegraph - usajili unahitajika)
..... download Xtra 90 App



