Jana klabu ya Cape Town Spurs inayoshiriki ligi kuu nchini Afrika kusini ilitaganza kukamilisha usajili wa mkopo wa msimu mzima wa mlinzi wa kushoto Gadiel Michael kutoka Singida Fountain Gate Fc
Gadiel ameungana na Kocha wake wa Zamani wa Singida Fontaine Gate Ernst Meddendorp
Meddendorp aliitumikia Singida FG mwanzoni mwa msimu huu akidumu na timu hiyo kwa mwezi mmoja tu
Aliondoka akitaja sababu ya kuingiliwa majukumu yake na viongozi wa klabu hiyo
Hii ni nafasi kwa Gadiel Michael kutimiza ndoto yake ya kucheza soka nje ya nchi



