Gadiel katika majukumu mapya Afrika Kusini

Joel JJ By Joel JJ β€’ 26th January 2024


Gadiel katika majukumu mapya Afrika Kusini

Jana klabu ya Cape Town Spurs inayoshiriki ligi kuu nchini Afrika kusini ilitaganza kukamilisha usajili wa mkopo wa msimu mzima wa mlinzi wa kushoto Gadiel Michael kutoka Singida Fountain Gate Fc

Gadiel ameungana na Kocha wake wa Zamani wa Singida Fontaine Gate Ernst Meddendorp

Meddendorp aliitumikia Singida FG mwanzoni mwa msimu huu akidumu na timu hiyo kwa mwezi mmoja tu

Aliondoka akitaja sababu ya kuingiliwa majukumu yake na viongozi wa klabu hiyo

Hii ni nafasi kwa Gadiel Michael kutimiza ndoto yake ya kucheza soka nje ya nchi


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.