Tanzania imeandika rekodi Ligi ya Mabingwa

Joel JJ By Joel JJ β€’ 3rd March 2024


Tanzania imeandika rekodi Ligi ya Mabingwa

Wakati mashabiki wa Simba na Yanga wakiendelea na shamrashamra baada ya timu zao kutinga robo fainali ya michuano ya Ligi ya Mabingwa barani Afrika, mafanikio yao ni ya Tanzania

Kwa mara ya kwanza Tanzania imeingiza timu mbili katika robo fainali ya michuano ya ligi ya mabingwa barani Afrika

Hii itaongeza alama za Tanzania katika viwango vya CAF na kuwa na uhakika wa kutoa timu nne katika mashindano ya CAF kwa muda mrefu zaidi

Katika michuano ya ligi ya mabingwa msimu huu, ni Tanzania pekee iliyotoa timu mbili


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.