Simba - Azam - Coastal - Local

Mechi za ligi kuu March 06

Joel JJ By Joel JJ
β€’
6 Mar 2024
Mechi za ligi kuu March 06

Ligi Kuu ya NBC inaendelea leo Jumatano, March 06 ambapo mechi nne zitapigwa katika viwanja mbalimbali

Wekundu wa Msimbazi Simba Sc wako mkoani Morogoro kupepetana na Tanzania Prisons katika mchezo utakaopigwa uwanja wa Jamhuri

Simba imehamisha makazi yake mkoani Morogoro kwa muda ambapo itatumia uwanja huo katika mechi za nyumbani za ligi na kombe la FA

Mashujaa Fc watachuana na JKT Tanzania katika mchezo mwingine utakaopigwa saa 10 jioni

Azam Fc dhidi ya Coastal Union mechi itapigwa saa 12 jioni na mechi ya mwisho leo ni kati ya Dodoma Jiji dhidi ya Tabora United saa 2:15 usiku

More Stories

Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
43m ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
1h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
1h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
2h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
3h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
3h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
4h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
17h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
17h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
18h ago
READ MORE β†’