Kocha Mkuu wa Simba Abdelhak Benchikha amependekeza kikosi chake kuweka kambi ya muda mfupi visiwani Zanzibar kwa ajili ya maandalizi ya mchezo wa robo fainali ligi ya mabingwa dhidi ya Al Ahly ambao mkondo wa kwanza utapigwa uwanja wa Benjamin Mkapa, March 29
..... download Xtra 90 App



