Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Habari (Maelezo) ambaye pia ni Msemaji Mkuu wa Serikali, Mobhare Matinyi amesema kauli ya Waziri wa Utamaduni Sanaa na Michezo, Dk Damas Ndumbaro juu ya ukaguzi wa hati ya kusafiria 'passport' kwa mashabiki viwanjani ilikuwa ni utani wa kimichezo na wala si msimamo wa Serikali
..... download Xtra 90 App



