Mshambulizi wa Manchester City na Norway Erling Haaland ameonekana kulengwa na Barcelona katika msimu wa joto wa 2025. Wakala wa mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 23, Rafaela Pimenta, alikutana na mkurugenzi wa michezo wa klabu hiyo ya La Liga, Deco, mwezi uliopita. (Mundo Deportivo - kwa Kihispania)
..... download Xtra 90 App



