TFF yatangaza viingilio dabi ya Kariakoo

Joel JJ By Joel JJ β€’ 14th April 2024


TFF yatangaza viingilio dabi ya Kariakoo

TFF imeweka hadharani viingilio vya mchezo wa dabi ya Kariakoo kati ya Yanga dhidi ya Simba utakaopigwa Jumamosi, April 20 katika uwanja wa Benjamin Mkapa

Mzunguuko ni Tsh 5,000/- wakati kiingilio cha juu VIP A ni Tsh 50,000/-


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.