Rais wa heshima wa klabu ya Simba Bilionea Mohammed Dewji 'Mo' leo amekutana na kufanya mazungumzo na viongozi wa klabu ya Simba
Kikao hicho ambacho pia kilihudhuriwa na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi Salim Abdallah 'Try Again', kilikuwa maalum kwa ajili ya kujadili na kupata suluhisho la baadhi ya changamoto zinazoikabili Simba

