Simba, Azam Fc vitani Muungano Cup

Joel JJ By Joel JJ β€’ 22nd April 2024


Simba, Azam Fc vitani Muungano Cup

Klabu za Simba na Azam Fc zitaiwakilisha Tanzania Bara katika michuano maalum ya Muungano itakayopigwa kuanzia Jumatano, April 24 uwanja wa New Amaan Complex, visiwani Zanzibar

Azam Fc wamechukua nafasi ya Yanga ambayo ilipaswa kushiriki kwa kuwa mabingwa wa Tanzania Bara sambamba na Simba iliyomaliza nafasi ya pili msimu uliopita

Kulingana na ratiba iliyotolewa na TFF na ZFF, mechi za nusu fainali zitapigwa April 24 ambapo Simba itachuana na KVZ wakati Azam Fc wakichuana na KMKM

Mchezo wa fainali utapigwa April 27 simu moja baada ya shamrashamra za Muungano, April 26


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.