Kikosi cha wachezaji, benchi la ufundi na viongozi wa Pamba FC, leo kinatarajiwa kupokewa kwa shangwe na mashabiki wa soka jijini Mwanza na vitongoji vyake, kikitokea jijini Arusha ambako kilifanikiwa kupanda Ligi Kuu Tanzania Bara, baada ya miaka 23
..... download Xtra 90 App



