Yanga yakumbana na rungu la FIFA

Joel JJ By Joel JJ β€’ 30th April 2024


Yanga yakumbana na rungu la FIFA

Klabu ya Yanga imefungiwa usajili mpaka itakapomlipa aliyekuwa mchezaji wake raia wa Zambia Lazarus Kambole

Uamuzi huo umetolewa na FIFA mara baada ya Yanga kushindwa kumlipa mchezaji huyo ndani ya siku 45 tangu uamuzi wa awali ulipotolewa


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.