Ratiba nusu fainali kombe la FA

Joel JJ By Joel JJ β€’ 4th May 2024


Ratiba nusu fainali kombe la FA

Mchezo wa pili wa nusu fainali kombe la Shirikisho la CRDB Bank kati ya Ihefu Fc dhidi ya Yanga umepangwa kupigwa mkoani Arusha, May 19 katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid

Ni katika uwanja uleule ambao Yanga ilitwaa taji hilo msimu uliopita kwa kuichapa Azam Fc bao 1-0 kwenye mchezo wa fainali

Mchezo wa kwanza wa nusu fainali kati ya Coastal Union dhidi ya Azam Fc utapigwa May 18 katika uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza

Mechi ya fainali inatarajiwa kupigwa Juni 02


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.