Mashujaa Fc yatangaza kuachana na Adam Adam

Joel JJ By Joel JJ β€’ 22nd May 2024


Mashujaa Fc yatangaza kuachana na Adam Adam

Klabu ya Mashujaa Fc imetangaza kuachana na aliyekuwa mshambuliaji wao Adam Adam zikiwa zimesalia mechi mbili kabla ya msimu kumalizika

Taarifa iliyotolewa na Mashujaa Fc mapema leo, imebainisha kuwa uamuzi huo umefikiwa baada ya makubaliano ya pande mbili


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.