Baada ya kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu Yanga imeondoka na kitita cha Tsh Milioni 600 huu ukiwa msimu wa tatu mfululizo
Kiasi hicho cha fedha ni kutoka kwa wadhamini Azam Media (500M) na NBC Bank (100M)
Azam Fc walioshika nafasi ya pili wameondoka na Tsh Milioni 300 huku Simba iliyomaliza nafasi ya tatu ikiambulia Tsh Milioni 255
Huu hapa msimamo wa ligi ya fedha baada ya msimu kumalizika;
1. Yanga (Sh 600,000,000)
2. Azam (Sh 300,000,000)
3. Simba (Sh 255,000,000)
4. Coastal Union (Sh 200,000,000)
5. KMC (Sh 65,000,000)
6. Namungo (Sh 60,000,000)
7. Ihefu (Sh 55,000,000)
8. Mashujaa (Sh 50,000,000)
9. Tanzania Prisons (Sh 45,000,000)
10. Kagera Sugar (Sh 40,000,000)
11. Singida FG (Sh 35,000,000)
12. Dodoma Jiji (Sh 30,000,000)
13. JKT Tanzania (Sh 25,000,000)
14. Tabora United (Sh 20,000,000)
15. Geita Gold (Sh 10,000,000)
16. Mtibwa Sugar (Sh 10,000,000)
TIMU YENYE NIDHAMU: (Tsh 20,000,000)



