Adam Adam arejea Azam Fc

Joel JJ By Joel JJ β€’ 7th June 2024


Adam Adam arejea Azam Fc

Klabu ya Azam Fc imetangaza kumrejesha mshambuliaji wake wa zamani Adam Adam

Adam anatua Azam Fc akiwa mchezaji huru baada ya kumaliza kuitumikia klabu ya Mashujaa Fc ya mkoani Kigoma

"Baada ya kucheza miaka 10 nje ya viunga vya Azam Complex, hatimaye tumemrejesha kijana wetu, Adam Adam. Tunathibitisha kuwa tumeingia naye mkataba wa mwaka mmoja, tayari kabisa kuitumikia Azam FC msimu ujao 2023/24," taarifa ya Azam Fc ilibainisha


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.