Mkutano Mkuu Yanga ni leo

Joel JJ By Joel JJ β€’ 9th June 2024


Mkutano Mkuu Yanga ni leo

Klabu ya Yanga leo Jumapili, Juni 09 2024 inatarajiwa kufanya Mkutano Mkuu wa mwaka wa Wanachama

Mkutano huo utafanyika kuanzia saa 4 asubuhi katika ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Julius Nyerere

Hizi hapa Ajenda za Mkutano huo;

  1. Kufungua Mkutano
  2. Kuhakiki Wajumbe waaliohudhuria Mkutano huo
  3. KUthibitisha Ajenda
  4. Kuthibitisha kumbukumbu za Mkutano uliopita
  5. Yatokanayo na kumbukumbu za Mkutano uliopita
  6. Hotuba ya Rais
  7. Kupokea na kujadili taarifa za kazi kutoka Kamati ya Utendaji
  8. Kuthibitisha hesabu za fedha zilizokaguliwa za mwaka uliotangulia pamoja na kusomewa mapato na matumizi ya klabu
  9. Kuthibitisha bajeti kwa mwaka unaofuata
  10. Kufunga Mkutano

  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.