Simba - Local

Try Again yametimia Simba

Joel JJ By Joel JJ
β€’
11 Jun 2024
Try Again yametimia Simba

Aliyekuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya klabu ya Simba, Salim Abdallah 'Try Again' amethibitisha kujiuzulu nafasi yake

Akizungumza katika mahojiano maalum na Azam TV, Try Again amesema baada ya majadiliano na Mwekezaji Mohammed Dewji 'Mo' ambaye pia ni Rais wa heshima wa Simba, amesema ameondoka katika nafasi yake ili kumpisha Mo Dewji kurudi katika nafasi ya Mwenyekiti wa Bodi

"Tumefanya majadiliano ya kina na Mwekezaji wetu (Mo), nimemshauri kwa maslahi mapana ya klabu anapaswa kurudi kuongoza Bodi ya Wakurugenzi"

"Maneno yamekuwa mengi, kutoka kila upande ukweli ni kwamba tumewaumiza mashabiki wetu na naamini huu ni wakati wa kuirudisha nguvu ya Simba"

"Tunawaomba mashabiki na wajumbe wa Bodi tuache marumbano, tuonyeshe uimara wetu kama slogan yetu inavyosema, SIMBA NGUVU MOJA," alisema Try Again

Ni rasmi sasa Mo anarejea kuongoza Bodi na bila shaka atakuwa na nafasi nzuri ya kusimamia kila mkakati wa klabu kuanzia usajili

More Stories

Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
26m ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
1h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
1h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
2h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
3h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
3h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
16h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
16h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
17h ago
READ MORE β†’
Clement Mzize arejea rasmi kikosini baada ya miezi sita nje kwa majeraha
Clement Mzize arejea rasmi kikosini baada ya miezi sita nje kwa majeraha
22h ago
READ MORE β†’