Muda mchache baada ya klabu ya Simba kutangaza kumsajili beki wa Coastal Union Lameck Lawi ambaye pia hucheza timu ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars, klabu ya Coastal Union ikaibuka kukanusha usajili huo na kusisitiza Lawi bado ni mchezaji wao
..... download Xtra 90 App



