Wakati ikianza kutangaza majina ya wachezaji inayowaacha, Coastal Union iko mbioni kumsajili winga wa zamani wa Yanga, Tuisila Kisinda, lengo ikiwa ni kujiimarisha kuelekea mashindano ya kimataifa ya Kombe la Shirikisho Afrika, imefahamika
..... download Xtra 90 App



