Klabu ya Azam Fc imetangaza kuachana na nyota wake wanne ambao mikataba yao imemalizika
Wachezaji hao waliopewa Thank You ni Ayoub Lyanga, Edward Charles Manyama, Malickou Ndoye na Issa Ndala
Hivi karibuni Azam Fc pia ilitangaza kuachana na beki Daniel Amoah aliyeitumikia timu hiyo kwa misimu nane








