Azam Fc yaacha watano

Joel JJ By Joel JJ β€’ 23rd June 2024


Azam Fc yaacha watano

Klabu ya Azam Fc imetangaza kuachana na nyota wake wanne ambao mikataba yao imemalizika

Wachezaji hao waliopewa Thank You ni Ayoub Lyanga, Edward Charles Manyama, Malickou Ndoye na Issa Ndala

Hivi karibuni Azam Fc pia ilitangaza kuachana na beki Daniel Amoah aliyeitumikia timu hiyo kwa misimu nane


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.