Bayern Munich wanavutiwa na Bernardo Silva na Borussia Dortmund wanakaribia kufikia makubaliano ya Pascal Gross, huku Arsenal na Chelsea wakimlenga Nico Williams. Bayern Munich wana nia ya kumsajili winga wa Ureno Bernardo Silva, 29, ambaye ana kipengele cha kumnunua cha £50m katika kandarasi yake huko Manchester City, ambayo bado ina miaka miwili kukamilika. (Star)
..... download Xtra 90 App



