Leo Patand Shule ya Sekondari wamekuwa wanufaika wa kwanza wa Taasisi ya mchezaji bora Afrika, mzaliwa wa Spain anayekipiga katika moja ya vilabu bora na mashuhuri ulimwenguni cha PSG. Achraf hakimi
Kupitia Achraf Hakimi Foundation, misaada hiyo ilikabidhiwa kwa uongozi wa shule hiyo na mmiliki wa foundation, Hakimi ikiwa ni sehemu ya ziara yake nchini kwa mualiko maalum wa rais wa Yanga Injinia Hersi Said
Patand Seekondari ni shule pekee nchini inayochukua watoto walemavu wa kila aina katika darasa moja imepata udhamini wa mambo kadha wa kadha ikiwemo madarasa mawili yatakayokuwa na desktop 50, laptops, incinerator, projectors, Orbit readers, Embosser 12', Water boiler na tanks n.k
Aidha GSM kupitia klabu ya Yanga walitoa vitanda 40 pamoja na magodoro yake kwa ajili watoto wa bweni












