Klabu ya Simba imetangaza kumnasa kiungo mkabaji, Yusuph Kagoma kutoka Singida Fountain Gate
Kagome amesaini mkataba wa miaka mitatu kuwatumikia Wekundu hao wa Msimbazi
Kiungo huyo Mtanzania, Kagoma ni kiungo mkabaji, akienda kupambana na mastaa wengine sita wanaocheza kwenye eneo hilo la kiungo ya kukaba
Wachezaji wengine ambao wako katika nafasi yake ni Fabrice Ngoma, Mzamiru Yassin, Sadio Kanoute, Babacar Sarr, Debora Fernandes Mavambo na Augustine Okajepha