Yanga - Local - Transfer

Khomein atambulishwa Yanga

Joel JJ By Joel JJ
β€’
8 Jul 2024
Khomein atambulishwa Yanga

Klabu ya Yanga imethibitisha kukamilisha usajili wa mlinda lango Aboubakar Khomein kutoka klabu ya Ihefu Fc (Singida Black Stars)

Ni usajili uliokuwa ukisubiri utambulisho kwani Wananchi walikamilisha usajili huo majuma kadhaa nyuma

Khomein anatua Yanga kuchukua nafasi ya Metacha Mnata ambaye aliruhusiwa kuondoka baada ya mkataba wake kumalizika

Anajiunga kuimarisha eneo la golikipa ambalo tayari liko mikononi mwa Djigui Diarra na Aboutwalib Mshery

Khomein ni mlinda lango mwenye uzoefu na ligi ya Tanzania Bara pia akipata nafasi ya kuitumikia timu ya Taifa kuanzia ngazi ya vijana

More Stories

Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
1h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
1h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
2h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
3h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
3h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
4h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
5h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
18h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
18h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
19h ago
READ MORE β†’