Yanga yamsajili Andambwile

Joel JJ By Joel JJ β€’ 9th July 2024


Yanga yamsajili Andambwile

Yanga imethibitisha usajili wa kiungo Aziz Andambwile kutoka klabu ya Singida FG

Andambwile anatua Jangwani kuziba nafasi iliyoachwa na Zawadi Mauya ambaye alipewa mkono wa kwaheri baada ya mkataba wake kumalizika

Kabla ya kujiunga na Singida FG, Andambwile alin'gara na kikosi cha Mbeya City

Amewahi kucheza soka la kulipwa nchini Malawi katika klabu ya Nyasa Big Bullets na pia kuzitumikia timu za Taifa za Malawi (U20) na Taifa Stars


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.