Jana Bodi ya Ligi Tanzania Bara 'TPLB' iliweka hadharani kalenda ya Ligi kwa msimu wa 2024/25 ambapo Ligi Kuu ya NBC inatarajiwa kuanza Agosti 16 mwaka huu


Jana Bodi ya Ligi Tanzania Bara 'TPLB' iliweka hadharani kalenda ya Ligi kwa msimu wa 2024/25 ambapo Ligi Kuu ya NBC inatarajiwa kuanza Agosti 16 mwaka huu

