Kalenda ya Ligi Kuu 2024/25 yatangazwa

Joel JJ By Joel JJ β€’ 17th July 2024


Kalenda ya Ligi Kuu 2024/25 yatangazwa

Jana Bodi ya Ligi Tanzania Bara 'TPLB' iliweka hadharani kalenda ya Ligi kwa msimu wa 2024/25 ambapo Ligi Kuu ya NBC inatarajiwa kuanza Agosti 16 mwaka huu


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.