Michuano ya Kombe la Kagame 2024 imefikia tamati kwa timu ya Red Arrows ya Zambia kutwaa ubingwa wa michuano hiyo baada ya kuifunga APR ya Rwanda kwa penalti 10-9 kwenye mchezo wa fainali uliopigwa kwenye Uwanja wa KMC, jijini Dar es Salaam
..... download Xtra 90 App



