TS Galaxy vs Yanga, mbashara Azam TV

Joel JJ By Joel JJ β€’ 23rd July 2024


TS Galaxy vs Yanga, mbashara Azam TV

Mchezo wa pili wa Mpumalanga Premier's International Cup kati ya TS Galaxy dhidi ya Yanga, utakaopigwa Jumatano, Julai 24, utaonyeshwa mbashara na vituo vya televisheni

Awali ilitangazwa mchezo huo usingeonyeshwa wala mashabiki kuruhusiwa kuingia uwanjani

Lakini hatimaye timu husika na waandaaji wa michuano hiyo wameridhia mechi hiyo irushwe mbashara

Azam TV wamethibitisha, watakuwa live kurusha mchezo huo


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.