Mabosi wa Simba wamelazimika kufungua tena mazungumzo kumsajili kiungo mshambuliaji wa AS Vita Elie Mpanzu ambaye unaweza kusema katika dirisha hili la usajili ndiye mchezaji ambaye tetesi za usajili wake zimezungumzwa kwa muda mrefu zaidi
..... download Xtra 90 App



