Djuma Shaban atua Namungo Fc

Joel JJ By Joel JJ β€’ 27th July 2024


Djuma Shaban atua Namungo Fc

Klabu ya Namungo Fc imekamilisha usajili wa beki wa kulia Djuma Shaban aliyekuwa mchezaji huru

Awali Djuma alikuwa akitajwa kutua Coastal Union hata hivyo Namungo inayonolewa na Mcongoman Mwinyi Zahera imefanikiwa kuinasa saini ya beki huyo wa zamani klabu za AS Vita na Yanga


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.