Simba yafanya dua kuelekea msimu wa 2024/25

Joel JJ By Joel JJ β€’ 27th July 2024


Simba yafanya dua kuelekea msimu wa 2024/25

Mapema leo, Mwenyekiti wa Klabu ya Simba, Murtaza Mangungu aliongoza dua ya kuwaombea viongozi wetu pamoja na timu kufanya vizuri kwenye msimu mpya ambao unategemea kuanza August 16 2024

Dua imefanyika katika uwanja wa Mo Simba Arena Bunju jijini Dar es Salaam


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.