Mapema leo, Mwenyekiti wa Klabu ya Simba, Murtaza Mangungu aliongoza dua ya kuwaombea viongozi wetu pamoja na timu kufanya vizuri kwenye msimu mpya ambao unategemea kuanza August 16 2024
Dua imefanyika katika uwanja wa Mo Simba Arena Bunju jijini Dar es Salaam











