Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limemtangaza Elly Sasii kuwa mwamuzi wa kati katika mchezo wa nusu fainali Ngao ya Jamii kati ya Yanga dhidi ya Simba utakaopigwa Alhamisi, August 08 katika uwanja wa Benjamin Mkapa
Sasii atasaidiana a=na waamuzi wasaidizi Mohammed Mkono na Kassim Mpanga wakati mwamuzi wa akiba ni Amina Kyando



