Sasii apewa dabi Ngao ya Jamii

Joel JJ By Joel JJ β€’ 7th August 2024


Sasii apewa dabi Ngao ya Jamii

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limemtangaza Elly Sasii kuwa mwamuzi wa kati katika mchezo wa nusu fainali Ngao ya Jamii kati ya Yanga dhidi ya Simba utakaopigwa Alhamisi, August 08 katika uwanja wa Benjamin Mkapa

Sasii atasaidiana a=na waamuzi wasaidizi Mohammed Mkono na Kassim Mpanga wakati mwamuzi wa akiba ni Amina Kyando


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.