Ngao ya Jamii ni leo

Joel JJ By Joel JJ β€’ 8th August 2024


Ngao ya Jamii ni leo

Ufunguzi wa msimu mwingine wa mashindano Tanzania Bara unafanyika leo kwa mechi za Ngao ya Jamii kupigwa kuanzia hatua ya nusu fainali

Saa 10 jion mchezo wa kwanza wa nusu fainali kati ya Coastal Union dhidi ya Azam Fc utapigwa uwanja wa New Amaan Complex saa 10 jioni

Mtanange utakaofuata ni watani wa jadi kati ya Yanga dhidi ya Simba utakaopigwa uwanja wa Benjamin Mkapa saa 1 usiku


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.