Manchester United wanajiandaa kuwasilisha ofa mpya kwa mlinzi wa Everton aliye na umri wa miaka 22 Jarrad Branthwaite - baada ya kubaini kuwa mchezaji wao mpya, mlinzi wa Ufaransa Leny Yoro, 18, hawezi kucheza tena mwaka huu. (Sun)
..... download Xtra 90 App



