Simba - Local - Transfer

Simba yajitoa kwa Lawi

Joel JJ By Joel JJ
β€’
4 Sep 2024
Simba yajitoa kwa Lawi

Klabu ya Simba imeachana na mpango wa usajili wa beki Lameck Lawi kutoka klabu ya Coastal Union, imefahamika

Lawi amerejea nchini hivi karibuni baada ya mpango ya kujiunga na KAA Genk ya Ubelgiji kukwama

Mchezaji huyo aliingia kwenye mgogoro baada ya kusaini klabu ya Simba wakati huohuo klabu yake ya Coastal Union ikigoma kumuachia kwa madai Simba haikukamilisha mchakato wa usajili wake kwa wakati

Simba ilipeleka malalamiko yake Kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji lakini taarifa kutoka ndani ya uongozi wa Simba imethibitisha kuwa Wekundu hao wa Msimbazi wamefuta shauri hilo

Simba imechukua uamuzi huo kwa kile kilichoelezwa kuzingatia maslahi ya mchezaji ili kumruhusu aendeleze kukuza kipaji chake

Lawi (18) alipata nafasi ya kwenda kufanya majaribio nchini Ubelgiji hata hivyo hakufanikiwa

More Stories

Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
28m ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
1h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
1h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
2h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
3h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
3h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
16h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
17h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
18h ago
READ MORE β†’
Clement Mzize arejea rasmi kikosini baada ya miezi sita nje kwa majeraha
Clement Mzize arejea rasmi kikosini baada ya miezi sita nje kwa majeraha
22h ago
READ MORE β†’