Yanga iko Ethiopia kuikabili CBE

Joel JJ By Joel JJ β€’ 12th September 2024


Yanga iko Ethiopia kuikabili CBE

Msafara wa kikosi cha Yanga kilichoondoka mapema leo, umewasili salama Addis Ababa kuelekea mchezo wa mkondo wa kwanza raundi ya pili ligi ya mabingwa dhidi ya CBE SA

Nyota ambao walikuwa na majukumu ya timu za Taifa wanatarajiwa kuungana na wenzao hapo Addis Ababa


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.