Baada ya kupoteza mechi tatu mfululizo za ligi kuu ya NBC, Ken Gold Fc imethibitisha kocha wake mkuu Fikir Elias na kocha msaidizi Luhaga Makunja kujiuzulu
Timu hiyo kutoka mkoani Mbeya imemtangaza Jumanne Charles kuwa kocha wake wa muda

Baada ya kupoteza mechi tatu mfululizo za ligi kuu ya NBC, Ken Gold Fc imethibitisha kocha wake mkuu Fikir Elias na kocha msaidizi Luhaga Makunja kujiuzulu
Timu hiyo kutoka mkoani Mbeya imemtangaza Jumanne Charles kuwa kocha wake wa muda

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.