Yanga Media Day yafanyika Jangwani

Joel JJ By Joel JJ β€’ 17th September 2024


Yanga Media Day yafanyika Jangwani

Leo ilikuwa Yanga Media Day ambapo waandishi wa Habari walipata fursa ya kufanya mahojiano ya ana kwa ana na benchi la ufundi, wachezaji na baadhi ya viongozi wa Yanga

Tukio hilo limefanyika kwa mujibu wa kanuni za Ligi Kuu ambapo kila timu timu inapaswa kuwa na angalau siku moja maalum ya kukutana na wanahabari na kujadili masuala mbalimbali yanayohusu klabu husika


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.