Leo ilikuwa Yanga Media Day ambapo waandishi wa Habari walipata fursa ya kufanya mahojiano ya ana kwa ana na benchi la ufundi, wachezaji na baadhi ya viongozi wa Yanga
Tukio hilo limefanyika kwa mujibu wa kanuni za Ligi Kuu ambapo kila timu timu inapaswa kuwa na angalau siku moja maalum ya kukutana na wanahabari na kujadili masuala mbalimbali yanayohusu klabu husika













