Meneja wa Habari na Mawasiliano klabu ya Simba Ahmed Ali amesema nguvu ya Wanamsimbazi wote inahitajika siku ya Jumapili katika mchezo wa mkondo wa pili kuwania kufuzu hatua ya makundi ya michuano ya kombe la Shirikisho barani Afrika (CAF CC)
..... download Xtra 90 App



