Azam Fc vs Simba kupigwa Zanzibar

Joel JJ By Joel JJ β€’ 21st September 2024


Azam Fc vs Simba kupigwa Zanzibar

Mchezo wa ligi kuu kati ya Azam Fc dhidi ya Simba ambao utapigwa Septemba 26, umehamishiwa katika uwanja wa New Amaan Complex visiwani Zanzibar

Mchezo huo awali ulipangwa kupigwa uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es salaam


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.