Simba - Local

Simba iko poti 1 droo ya makundi CAF CC

Joel JJ By Joel JJ
β€’
23 Sep 2024
Simba iko poti 1 droo ya makundi CAF CC

Baada ya ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Al Ahli Tripoli hapo jana na kujihakikishia tiketi ya kucheza hatua ya makundi CAF CC, Mnyama atakuwa katika poti 1 kwenye droo ya makundi itakayofanyika Oktoba 07 Cairo, Misri

Katika poti 1 Simba iko pamoja na vigogo wengine Zamalek, RS Berkane na USM Alger. Habari njema ni kuwa timu hizi hazitakutana katika hatua ya makundi

Kwenye makundi Simba itapangwa dhidi ya timu kutoka poti 2, 3 na zile ambazo hazina alama

Katika poti 2 kuna Asec Mimosas, Stade Malien, Al Masry na CS Sfaxien

Katika poti  3 kuna Enyimba na ASC Jaaraf huku timu nyingine 6 hazina alama zinaunda poti ya 4

Timu hizo ni CS Constantine, Bravos do Maquis, Lunda Sul, Orapa United, Black Bulls na Stellenbosch

More Stories

Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
28m ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
1h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
1h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
2h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
3h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
3h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
16h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
16h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
17h ago
READ MORE β†’
Clement Mzize arejea rasmi kikosini baada ya miezi sita nje kwa majeraha
Clement Mzize arejea rasmi kikosini baada ya miezi sita nje kwa majeraha
22h ago
READ MORE β†’