Kocha Mkuu wa Tanzania Prisons, Mbwana Makata, ameeleza kufurahishwa na ushindi wa kwanza kwa timu yake kwenye Ligi Kuu Tanzania Bara, baada ya kucheza michezo sita sawa na dakika 540, akisema huo ni mwanzo tu wa mazuri ambayo yanakuja kwenye timu yake
..... download Xtra 90 App



